Jerry Muro alalamikia kuhujumiwa na CHADEMA

Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, Jerry Muro

Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, Jerry Muro ameamuru kuwekwa ndani mmoja wa madiwani wa viti maalum wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kwa kosa la kuchukua mifuko ya saruji kinyume na utaratibu kisheria.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS