Simba kupaa kesho, fahamu taarifa kuhusu Okwi Emmanuel Okwi kushoto na Meddie Kagere Klabu ya Simba itasafiri kesho na msafara wa wachezaji 20, benchi la ufundi na viongozi kadhaa kuelekea nchini DR Congo tayari kwa mchezo wa pili Ligi ya Mabingwa Afrika kundi D dhidi ya AS Vita Club. Read more about Simba kupaa kesho, fahamu taarifa kuhusu Okwi