Tanzania kuendesha mashindano ya Tenisi ya Afrika

Mchezaji wa Tenisi

Mashindano ya tenisi kwa vijana Afrika, Tennis Zonal Championship, yanatarajiwa kufanyika kuanzia Januari 7 hadi 15, 2019, viwanja wa Gymkhana, jijini Dare es Salaam, yakishirikisha jumla ya nchi 10.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS