Dkt. Mashinji atoa neno kuhusu Serikali ya CHADEMA
Katibu Mkuu CHADEMA, Dkt. Vicent Mashinji.
Katibu Mkuu wa Chama cha Deokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt. Vicent Mashinji amewataka watanzania pamoja na dunia kujiandaa kuipokea serikali mpya chini ya chama anachokiongoza.