Afande Sele avunja miiko 2019 Pichani, Afande Sele Mfalme wa vina nchini, Afande Sele ameweka wazi mwaka 2019 kwake utakuwa wa tofauti kwa kuwa ana mpango wa kubadilisha dini pamoja na kufunga ndoa kwa mara nyingine. Read more about Afande Sele avunja miiko 2019