Kibadeni awaombea ajira wakongwe wa Simba
Ikiwa tayari tumeshauanza mwaka 2019, leo Jumanne, mchezaji wa zamani wa klabu ya Simba, Abdallah Kibadeni amesema ana imani ya timu yake kuongoza ligi endapo itashinda michezo yake yote ya viporo pamoja na mechi dhidi ya Yanga.