Manara afunguka Baba yake kutumika kumuumiza Haji Manara. Msemaji wa klabu ya Simba Haji Manara amefunguka kuwa kitendo cha Baba yake mzazi, Sunday Manara ambaye aliichezea klabu ya Yanga zamani kuonekana bado akishirikiana na timu hiyo kinamuumiza. Read more about Manara afunguka Baba yake kutumika kumuumiza