Zitto mikononi mwa TAKUKURU
Naibu Mkurugenzi wa TAKUKURU Bregadia Jenerali, John Mbungo amemtaka Mbunge wa Kigoma Zitto Kabwe, kufika ofisini kwake kwa mahojiano zaidi kuhusiana na taarifa aliyoitoa katika mitandao ya kijamii kuwa makampuni matatu ya Chuma ya China yamewahonga baadhi ya watendaji wa serikali.