Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda akiwa na Saed Kubenea.
Mbunge wa Jimbo la Ubungo kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA), Saed Kubenea amefunguka juu ya tuhuma za Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda kumchonganisha na wananchi wake kwa Rais Magufuli.