CHADEMA yajibu malalamiko ya Makonda

Rais wa Tanzania Dkt, John Magufuli, John Mrema, na Paul Makonda.

Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimetetea sababu ya wabunge wake kutoonekana kwenye baadhi ya shughuli za Maendeleo kwa kile walichokidai kuwa wabunge wake hawakupewa mialiko na wengine wakiwa na kesi mbalimbali mahakamani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS