Yanga yaendelea kuvuruga mikoa Wachezaji wa Yanga wakifurahia ushindi Klabu ya Yanga imeendeleza rekodi yake nzuri dhidi ya Kagera Sugar katika uwanja wa Kaitaba kwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 katika mfululizo wa mechi za ligi kuu Tanzania bara TPL. Read more about Yanga yaendelea kuvuruga mikoa