Yanga yaendelea kuvuruga mikoa

Wachezaji wa Yanga wakifurahia ushindi

Klabu ya Yanga imeendeleza rekodi yake nzuri dhidi ya Kagera Sugar katika uwanja wa Kaitaba kwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 katika mfululizo wa mechi za ligi kuu Tanzania bara TPL.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS