Rekodi za mpinzani wa Simba kuelekea mchezo wa leo

Simba (kushoto) na Mbabane Swallows (kulia)

Wawakilishi wa kwanza wa Tanzania katika michuano ya vilabu barani Afrika, Mtibwa Sugar wameibuka na ushindi mnono nyumbani wa mabao 4-0 dhidi ya Northern Dynamo ya Shelisheli hapo jana, ambapo leo ni zamu ya wawakilishi wa pili Simba itakapovaana na Mbabane Swallows ya Swartzland.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS