Waziri awatumbua vigogo watatu

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi.

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi, amewasimamisha kazi watumishi watatu wa sekta ya ardhi katika halmashauri ya Jiji la Arusha, kwa tuhuma ya kushirikiana na matapeli wa viwanja katika jiji hilo ambalo linaongozwa na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, k

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS