TFF yaitaka Yanga kubadilisha jina Nembo ya klabu ya Yanga Shirikisho la soka nchini Tanzania (TFF) limeitaka klabu ya Yanga kubadilisha jina la klabu hiyo toka kuwa Sports Club (SC) na kuwa Football Club (FC), ambalo litaitambulisha kama Yanga FC. Read more about TFF yaitaka Yanga kubadilisha jina