Wizara, taasisi zaonywa kufanya maandamano
Jeshi la polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limepiga marufuku maandamano yasiyokuwa na vibali badala yake wamezitaka taasisi au watu ambao watahitaji kufanya hivyo kuomba kibali maalum kwa ajili ya kupatiwa ulinzi pindi watakapohitaji kufanya hivyo.