Mtibwa Sugar yakana kulegeza kamba Kikosi cha Mtibwa Sugar Uongozi wa klabu ya Mtibwa Sugar umekana tuhuma za kucheza chini ya kiwango kwa makusudi katika michezo yake ya ligi kuu Tanzania bara kila inapofika mzunguko wa pili, ambao ni kuanzia Januari hadi Juni. Read more about Mtibwa Sugar yakana kulegeza kamba