Mahakama yamuhukumu Mbowe na Matiko

Ester Matiko (mbele kulia), Freeman Mbowe (katikati) na John Mnyika (kushoto)

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam imemfutia dhamana Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe na Mbunge wa Tarime Mjini, Ester Matiko baada ya kujiridhisha juu ya viongozi hao kukiuka masharti ya dhamana.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS