Simba wakiri kuteswa na Lipuli FC Kikosi cha Lipuli FC Klabu ya soka ya Simba kupitia kwa msemaji wake Haji Manara, imekiri kuwa bado wanakumbukumbu nzuri na namna ambavyo Lipuli ilivyokuwa klabu pekee iliyogoma kufungwa na Simba katika mechi zote mbili msimu uliopita. Read more about Simba wakiri kuteswa na Lipuli FC