Aliyetumbuliwa na Magufuli aondoka, aacha ujumbe

Waziri wa sasa KilimoJaphet Hasunga akiwa na Waziri wa zamani wa wizara hiyo Dkt Charles Tizeba.

Aliyewahi kuwa Waziri wa Kilimo Dkt Charles Tizeba ambaye ni Mbunge wa Buchosa Mkoani Mwanza leo tarehe 22 Novemba 2018 amemkabidhi rasmi ofisi Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) makabidhiano hayo yamefanyika katika Ukumbi wa mikutano maarufu kama Kilimo IV Jijini Dodoma na kuhudhuri

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS