Aliyetumbuliwa na Magufuli aondoka, aacha ujumbe
Aliyewahi kuwa Waziri wa Kilimo Dkt Charles Tizeba ambaye ni Mbunge wa Buchosa Mkoani Mwanza leo tarehe 22 Novemba 2018 amemkabidhi rasmi ofisi Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) makabidhiano hayo yamefanyika katika Ukumbi wa mikutano maarufu kama Kilimo IV Jijini Dodoma na kuhudhuri