Esha Buheti na Shilole watoleana uvivu

Esha Buheti (kushoto) na Shilole (kulia)

Msanii wa filamu Tanzania na mjasiriamali, Esha Buheti amekanusha kumuiga msanii mwenzake 'Shilole' kufanya biashara ya chakula, akisema kuwa alianza kufanya biashara hiyo kupitia mitandao ya kijamii kabla hata ya kuwa na ndoto za kufungua mgahawa, kitu ambacho watu wengi hawakijui.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS