'Mwanaume wangu lazima awe na pesa'' Miss Tanzania

Miss Tanzania 2016 Dianaflave

Mrembo wa Tanzania mwaka 2016, Diana Edward, maarufu kama 'Dianaflave', amesema kuwa mpenzi wake ana pesa za kutosha kumhudumia kwani ndio kigezo anachozingatia zaidi kwa mwanaume.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS