DC afunguka madai ya kufanya 'udhalilishaji'
Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini, Patrobasi Katambi, amekanusha madai ya kudhalilisha baadhi ya watuhumiwa waliokuwa wakikamatwa kupitia operesheni maalum ambayo ilikuwa ikiendeshwa na ofisi yake pamoja na ofisi ya Mkuu wa Polisi mkoani Dodoma, Kamanda Gilles Muroto.