Sita mbaroni kwa kuiba King’amuzi na pasi

Kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza Jonathan Shanna.

Jeshi la Polisi Mkoani Mwanza linawashikilia watu sita kwa makosa ya kuvunja nyumba usiku na kuiba vitu mbalimbali vikiwemo friji, tv, radio, majiko, computer, king’amuzi, pasi, laptop na spika za radio katika kata ya igogo wilayani Nyamagana huku wawili wakiuza vitu hivyo kwa watu

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS