TAKUKURU yakamata kwa Mkuu wa Mkoa
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Mwanza inamshikilia mmoja ya watumishi wa idara ya uchumi katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, kaswalala Benjamini Elisha kwa kosa la kuomba na kupokea rushwa ya shilingi laki tatu kutoka kwa mfanyabiashara.