Diddy avunja ukimya siku 3 baada ya kifo cha Kim

Msanii wa muziki wa Hip Hop nchini Marekani na mfanyabishara mwenye mkwanja mrefu zaidi kwa wasanii wa Marekani, Sean Combs maarufu kama Diddy, hatimaye amevunja ukimya na kusema machache baada ya kifo cha mama watoto wake Kim Porter.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS