Simba yampandia ndege beki wake Shomari Kapombe (kushoto) na Mwenyekiti wa Simba, Swedi Mkwabi (kulia) Klabu ya Simba imemfuata mlinzi wake wa kushoto, Shomari Kapombe ambaye alikuwa kambini na timu ya taifa 'Taifa Stars' kufuatia kupata majeraha katika mguu wake. Read more about Simba yampandia ndege beki wake