Kwa kujiunga na Chelsea, ninamkaribia Klopp -Sarri
Kocha wa Chelsea, Maurizio Sarri, amesema kuwa mchanganyiko kati yake na bosi wa Liverpool, Jurgen Klopp, kulimsaidia kutambua kwamba "amefikia kiwango cha juu" baada ya kuhama kutoka ligi kuu ya Italia 'Serie A' hadi ligi kuu nchini Ungereza, EPL.