Kwa kujiunga na Chelsea, ninamkaribia Klopp -Sarri

Kocha wa Chelsea, Maurizio Sarri (kushoto) na kocha wa Liverpool, Jurgen Klopp (kulia)

Kocha wa Chelsea, Maurizio Sarri, amesema kuwa mchanganyiko kati yake  na bosi wa Liverpool, Jurgen Klopp, kulimsaidia kutambua kwamba "amefikia kiwango cha juu" baada ya kuhama kutoka ligi kuu ya Italia 'Serie A' hadi ligi kuu nchini Ungereza, EPL.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS