Stars yapoteza bahati Lesotho

Mchezo wa Lesotho na Taifa Stars

Timu ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' imepoteza nafasi ya kufuzu moja kwa moja michuano ya AFCON hii leo baada ya kukubali kipigo cha bao 1-0 dhidi ya wenyeji Lesotho.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS