Stars yapoteza bahati Lesotho Mchezo wa Lesotho na Taifa Stars Timu ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' imepoteza nafasi ya kufuzu moja kwa moja michuano ya AFCON hii leo baada ya kukubali kipigo cha bao 1-0 dhidi ya wenyeji Lesotho. Read more about Stars yapoteza bahati Lesotho