Mwakyembe aiomba Taifa Stars
Yamebaki masaa machache kushuhudia taifa la Tanzania likiweka historia nyingine itakapovaana na Lesotho jioni ya leo, historia ambayo haitofutika milele endapo timu ya taifa Taifa Stars itapata alama tatu zitakazoipeleka michuano ya AFCON nchini Cameroon mwakani.