Sakata la Ushoga, Mufti acharuka

Mufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakar Bin Zuber Ally

Mufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakar Bin Zuber Ally amesema jambo la ushoga halikubaliki nchini kwa kuwa ni lenye kumchukiza mno Mwenyezi Mungu na kuwataka viongozi wa dini zote kuungana katika kulikemea.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS