Mufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakar Bin Zuber Ally
Mufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakar Bin Zuber Ally amesema jambo la ushoga halikubaliki nchini kwa kuwa ni lenye kumchukiza mno Mwenyezi Mungu na kuwataka viongozi wa dini zote kuungana katika kulikemea.