Okwi kuikosa Cape Verde leo, sababu yatajwa

Emmanuel Okwi akiwa mazoezini na wachezaji wenzake wa Uganda.

Mshambuliaji wa kimataifa wa klabu ya soka ya Simba kutoka nchini Uganda, Emmanuel Okwi, leo hatakuwa sehemu ya mchezo wa 5 kundi L kuwania kufuzu fainali za AFCON 2019 dhidi ya Cape Verde.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS