Pawasa awapa ujumbe mzito Taifa Stars
Kocha wa timu ya taifa ya soka la Ufukweni, Boniface Pawasa amekumbusha wachezaji wa timu ya taifa ya soka (Taifa Stars), kuwa tayari wameshaanza kucheza mechi dhidi ya Lesotho hivyo wasisubii mpaka siku ya mechi.