''Namuona Mh. Msigwa inamuuma sana'' - Job Ndugai

Mbunge wa Iringa Mjini Peter Msigwa na Spika Job Ndugai

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Job Ndugai amempa dongo mbunge wa Iringa Mjini Mchungaji Peter Msigwa kwa kumwambia anaumia kumuona mbunge mpya wa CCM Joseph Mkundi wa Ukerewe akichangia bungeni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS