''Yanga pamenuka utasikia leo au kesho'' - Manara
Msemaji wa Simba Haji Manara amesema namna mchakato wa mabadiliko ya mfumo ndani ya klabu ya Simba ulivyofanyika kwa mafanikio makubwa ni mfano wa kwa vilabu vingine kama wapinzani wao Yanga ambao mpaka sasa kuna misuguano.