Kesi ya Lissu kuendelea kuunguruma leo Mahakamani
Hii inafuatia uamuzi wa timu ya Majaji watatu wanaosikiliza kesi hii wakiongozwa na Jaji Dunstan Ndunguru kutoa wito kwa magereza kumfikisha Lissu mahakamani leo pamoja na mashahidi wengine ili kesi iweze kuendelea.

