Aliyemng'ata mdomo mwenzake asakwa

Moria maarufu kama Mama Yusta anasakwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Ruvuma kwa madai ya kumng’ata mdomoni Kanisia Hinju (30) mkazi wa Kihulu na kung’oa kipande cha nyama kisha kutokomea kusikojulikana.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS