Aliyemng'ata mdomo mwenzake asakwa Moria maarufu kama Mama Yusta anasakwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Ruvuma kwa madai ya kumng’ata mdomoni Kanisia Hinju (30) mkazi wa Kihulu na kung’oa kipande cha nyama kisha kutokomea kusikojulikana. Read more about Aliyemng'ata mdomo mwenzake asakwa