Chadema yaunda safu kusaka katiba mpya

Makada wa Chadema, John Heche, Mwanasheria Mkuu wa Chadema Rugemeleza Nshala pamoja na kada mwingine Boni Yai

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetangaza wajumbe 11 wa kamati maalumu ya Kamati Kuu itakayoratibu na kuendeleza mchakato wa ukusanyaji wa maoni kuhusu upatikanaji wa katiba mpya kabla ya mwaka 2027.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS