Mwigulu aagiza kukamatwa

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Dkt Mwigulu Nchemba

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Dkt Mwigulu Nchemba ameagiza kutafutwa na kukamatwa mara moja kwa watu wote wanaohusika na uteswaji wa vijana wanaopelekwa nje ya nchi kutafuta ajira.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS