Utata waibuka kesi ya Sugu
Kesi inayomkabili Mbunge wa Mbeya Mjini (CHADEMA) Joseph Mbilinyi 'Sugu' na Katibu wa CHADEMA Kanda ya Nyassa, Emmanuel Masonga imeharishwa siku ya leo baada ya kutokea mabishano makali Mahakamani hapo ya kisheria kutokana na ushahidi uliyotolewa.