Rais Magufuli atoa pongezi

Rais Magufuli akimtambulisha Waziri wa Mambo ya Nje Balozi Dkt. Augustine Mahiga (aliyevalia suti nyeusi) kwa Balozi wa Ethipia hapa nchini Dina Mufti Saidi

Rais John Magufuli amewapongeza Mabalozi sita walichaguliwa na nchi zao kuja kuziwakilisha nchini Tanzania huku akiwaahidi kuwapa ushirikiano utakaowezesha kukuza pande zote mbili.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS