Simba yavunja mwiko, yaishusha Azam FC

Klabu ya soka ya Simba imelipa kisasi dhidi ya Kagera Sugar baada ya kufanikiwa kupata ushindi wa mabao 2-0 kwenye mchezo uliomalizika jioni hii uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS