Simba yavunja mwiko, yaishusha Azam FC Klabu ya soka ya Simba imelipa kisasi dhidi ya Kagera Sugar baada ya kufanikiwa kupata ushindi wa mabao 2-0 kwenye mchezo uliomalizika jioni hii uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba. Read more about Simba yavunja mwiko, yaishusha Azam FC