Singida United yajilaumu

Mkurugenzi wa timu ya Singida United, Festo Sanga amefunguka na kudai kilichopelekea kufungwa kwa klabu yake mabao 4-0 dhidi ya Simba siku ya jana (Alhamisi) ni kutokana na mapungufu yaliyokuwepo kwa walinzi wa timu hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS