Yanga yakwama, Mwadui yapanda

Mabingwa watetezi wa ligi kuu soka Tanzania Bara klabu ya Yanga wamelazimishwa suluhu na Mwadui FC kwenye mchezo wa raundi ya 13 uliomalizika jioni hii uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS