Yanga yapewa Burundi, Simba Afrika Kusini

Shirikisho la Mpira wa Miguu Africa(CAF) limewataja waamuzi kutoka Burundi kuchezesha mchezo wa Ligi ya Mabingwa Africa kati ya Yanga na Township Rollers FC ya Botswana utakaochezwa Machi 6, 2018 Uwanja wa Taifa saa 10.30 jioni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS