Ratiba za Simba na Yanga zapanguliwa Shirikisho la soka nchini limebadili tena ratiba ya ligi kuu soka Tanzania Bara mara hii ikihusisha michezo ya timu za Simba na Yanga kusogezwa mbele na mwingine kurudisha nyuma. Read more about Ratiba za Simba na Yanga zapanguliwa