Muhimbili yafanya maajabu kwa watoto sita
Hospitali ya Taifa Muhimbili imewawashia vifaa vya usikivu watoto sita waliofanyiwa upasuaji maalumu wa kupandikiza vifaa vya usikivu, hatua ambayo leo hii imewawezesha watoto hao kwa mara ya kwanza kusikia sauti tangia wazaliwe.

