Wengine wawili wajiuzulu CHADEMA Madiwani wawili wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kutoka kata za Terati na Daraja mbili katika Jiji la Arusha wamejiuzulu nyadhifa zao na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi(CCM). Read more about Wengine wawili wajiuzulu CHADEMA