Canada kuwa G7 ya tatu kuitambua Palestina Wakati Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina Mahmoud Abbas ameelezea uamuzi huo kuwa wa kihistoria na ujasiri na utaimarisha amani, utulivu na usalama katika eneo hilo, Israeli imelaani mara moja. Read more about Canada kuwa G7 ya tatu kuitambua Palestina