Tanzania hatutakuwa wasindikizaji CHAN

Profesa Palamagamba Kabudi

Kuelekea michuano ya CHAN 2024 itakayofanyika katika Nchi za Tanzania, Kenya na Uganda mwezi Agosti, Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Profesa Palamagamba Kabudi amesema kuwa Tanzania haitokuwa msindikizaji katika michuano hii ambayo Tanzania watakuwa mwenyeji 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS