Waziri Mwigulu afanikiwa hili

Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi Dk Mwigulu Nchemba amefanikiwa kumaliza mgogoro wa ardhi ambao umedumu kwa miaka zaidi ya tisa ambao ulifikia kuhatarisha amani ya kijiji cha Hurui jimbo la Kondoa vijijini wilaya ya kondoa mkoa wa Dodoma.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS