Rais Magufuli afanya uteuzi kwa watu 6

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo Jumatano Disemba 6 amefanya uteuzi wa Wenyeviti 6 wa bodi za taasisi za Serikali baada ya waliokuwepo kumaliza muda wao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS