Rais Magufuli afanya uteuzi kwa watu 6 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo Jumatano Disemba 6 amefanya uteuzi wa Wenyeviti 6 wa bodi za taasisi za Serikali baada ya waliokuwepo kumaliza muda wao. Read more about Rais Magufuli afanya uteuzi kwa watu 6