TBA yamaliza utata wa gharama za mabweni

Mkurugenzi wa wakala wa Majengo nchini Mhandisi Elius A. Mwakalinga ameondoa mzozo uliopo kwa baadhi ya watu kuhusu gharama kamili za ujenzi wa mabweni ya chuo kikuu Dar es salaam, na kusema kwamba gharama iliyotajwa siku ya uzinduzi ndio sahihi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS