Dereva wa Heche akutwa amefariki Amani Golugwa (katikati) Naibu Katibu Mkuu CHADEMA Bara Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetangaza kwa masikitiko kifo cha Suez Dani Maradufu, ambaye alikuwa dereva wa Makamu wa Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche. Read more about Dereva wa Heche akutwa amefariki