Vyombo vya Habari vya kimataifa vilipotosha
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema walioumizwa na matukio ya Oktoba 29, 2025 ni Watanzania na haiwezekani mtu mwingine asiye Mtanzania awe na uchungu zaidi kuliko Watanzania

